by admin | Feb 22, 2025 | Blogu ya Kiswahili, Namna ya Kulipa
Kufanya uhamisho wa fedha kutoka kwa simu yako ya mkononi ukitumia laini ya Airtel kwenda kwenye akaunti yetu ya Benki ya NMB, hakikisha kwamba akaunti yako ya Airtel Money ina fedha taslimu za kutosha kufanya uhamisho huo. Malipo ya Benki kwa Maelekezo ya Airtel...
by admin | Feb 22, 2025 | Blogu ya Kiswahili, Namna ya Kulipa
Kufanya uhamisho wa fedha kutoka kwa simu yako ya mkononi ukitumia laini ya TIGO hadi kwenye akaunti yetu ya benki hakikisha kwamba akaunti yako ya TIGO PESA ina pesa taslimu za kutosha kufanya uhamisho huo. Kwenye simu yako andika *150*01# na ubonyeze kitufe cha...
by admin | Feb 21, 2025 | Blogu ya Kiswahili, Namna ya Kulipa
Kufanya uhamisho wa pesa kutoka kwa simu yako ya mkononi ukitumia laini ya Vodacom hadi kwenye akaunti yetu ya benki hakikisha kwamba akaunti yako ya MPESA ina pesa taslimu za kutosha kufanya uhamisho huo. Kwenye simu yako andika *150*00# na ubonyeze kitufe cha kupiga...
by admin | Feb 19, 2025 | Blogu ya Kiswahili, Kutengeneza Website
Vitu vinavyotakiwa ili kutengeneza website ya kanisa ni hivi hapa chini: #1. Unatakiwa uwe na domain au jina linaloakisi jina la Kanisa Mfano kristomfalme.church kristomfalme.or.tz kristomfalmechurch.or.tz #2. Unatakiwa pia kununua hosting Maelezo kuhusu hosting na...
by admin | Feb 19, 2025 | Blogu ya Kiswahili, Kutengeneza Website
Vitu vinavyotakiwa ili kutengeneza website ya kampuni ya utalii ni hivi hapa chini: #1. Unatakiwa uwe na domain au jina linaloakisi biashara ya utalii Mfano safariforleisure.com safariforleisure.co.tz wildlifeadventure.com wildlifeadventure.co.tz...
by admin | Feb 15, 2025 | Blogu ya Kiswahili
Kuifanya website ipande kwenye ukurasa wa kwanza wa Google watu wanaposearch keywords zinazoendana na website yako sio kazi rahisi. Kwanza website yako ni laZima ikae angalau siku 90 hadi 180 ili izoelewe na search engine bots. Ili website au keywords za website...